Na Sheila Ahmad
Rais wa. Msumbiji. Filipe Nyusi anatarajia kufungua. Maonyesho ya biashara ya sabasaba tarehe moja jijjini dar esalaam ikiwa nchi ya Tanzania na Msumbiji ni nchi zenye ushirikiano katika. Mambo mbalimbali yakiwemo. Biashara , Ulinzi na usalama, utalii miundombinu na madini pia mwenye ujio huo rais nyusi anakuja kumuaga Dkt samia suluhu katika kumaliza uongozi wake wa miaka 10 kwenye uongozi.
Akizungumza. Jijini Dar es salaam Waziri wa. Mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika. Mashariki. Mh . January. Makamba amesema kuwa waziri nyusi. Atawasili nchini Tanzania kwa. Mwaliko wa Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania. Dkt Samia suluhu hassani katika kuja kufungua maonyesho hayo hivyo kwa upande wake itakua ziara ya kitaifa na Historia.
Tanzania. Na Msumbiji Tulisaini mkutano wa kuanzisha Tume. Ya Ushirikiano Mwaka 1977. Kwani nchini. Msumbiji kuna baadhi ya watanzania wanaishi nchini humo. Huku Askari tumepeleka. Kwa ajili ya Ulinzi kwani kuweka askari nchini humo ni Kielelezo kwa nchi hizi mbili na kutakuwa na mikakati ya kurasimisha Mipaka .
Aidha. Waziri. Makamba. Ameongeza kuwa. Ushirikiano huu ni wa muda mrefu tangu kuundwa kwa chama cha Frelimo kutoka nchini Msumbiji ambapo chama hicho kiliundwa jijini. Dar. Es salaam chini ya uongozi wa Rais wa kwanza wa Tanzania. Hayati. Mwalimu. Julius. Kambarage nyerere. Alitoa. Mchango. Mkubwa wa Frelimo wakati wa kupigania Uhuru wake " Amesema. Waziri. Makamba.
Katika. Hatua. Nyingine. Waziri. Makamba ameongeza. Kuwa kutokana. Na ushirikiano. Huo. Wa. Nchi. Mbili. Ni jambo Zuri katika kushirikiana kwenye nyanja za kimaendeleo. Hususani kwenye ulinzi. Na usalama huku nchini Tanzania watu kutoka. Msumbiji wanaishi Tanzania kutokana na ushirikiano ambao. Tumeweka kipindi cha Muda. Mrefu.
"Nchi. Hizi. Mbili zinashirikiana. Katika. Umoja wa Afrika na umoja wa maendeleo
Ya Afrika. (SADEC). Kwenye. Umoja. Wa kimataifa. Hivyo nchi hizi mbili zina mihimili. Ambayo. Inafanana. Kutoka. Msumbiji. Na Tanzania na katika. Maeneo. Mbalimbali kwani. Nchi hiyo Miaka. Kadhaa imekuwa ikikabiliwa na changamoto. Ya usalama katika. Jimbo Lao la Kaskazini. Mwa. Nchi. Yao. Ambao ni Mpakani Mwa nchi yetu


0 Comments