Trending

3/recent/ticker-posts

Recent posts

WASHAURI WA KODI NA TRA KUELIMISHA HAKI NA WAJIBU KWA WALIPAKODI
WADAU WA FORODHA MKOA KIGOMA WAPATIWA ELIMU JUU YA SHERIA YA FEDHA 2026 PAMOJA NA TARATIBU ZA FORODHA
HUSTLESASA, kongamano linalolenga kuwaunganisha vijana kupitia muziki, burudani, biashara na imani, maandalizi yanaendelea kwa kasi kuelekea tukio hilo litakalofanyika Agosti 15 katika Lugalo Golf Club.  Kongamano hilo litakuwa na shughuli mbalimbali pamoja na fursa za biashara, huku likilenga pia kuibua jambo jipya na kuwapa vijana nafasi ya kukutana, kushirikiana na kujenga jamii yenye maono mapya.  Miongoni mwa wageni muhimu atakayeshiriki ni Moses Bliss, muimbaji maarufu kutoka Nigeria, ambaye atashiriki katika muda maalum wa ibada, maombi na ushuhuda.  Waandaaji wamesema tukio hilo halilengi burudani pekee, bali pia kuwawezesha vijana kuelewa umuhimu wa kuishi katika Kristo, kujenga imani na kushirikiana katika kuleta mabadiliko chanya katika jamii.  Aidha, NEEMA Gospel Choir pamoja na baadhi ya wacheza dansi watashiriki katika kongamano hilo, huku kukiwa na vipengele mbalimbali vya muziki na burudani.  Waandaaji pia wametaja Seed Communion kama sehemu ya programu ya siku hiyo, wakisisitiza kuwa washiriki hawatarajiwi kuja kujiburudisha pekee, bali pia kushiriki katika kujenga jamii yao.  “Sio kwamba mnakuja kuinjoy tu, ila mnatakiwa kuijenga jamii yenu.”  HUSTLESASA inatarajiwa kuwa wakati wa kuadhimisha mwanzo mpya, kuunganisha vijana na kuwapa nafasi ya kushirikiana kupitia muziki, imani, biashara na vipaji.
JNHPP KUZINDULIWA RASMI AGOSTI 22
KATIBU MKUU UVCCM, MWINYI AONGOZA KIKAO CHA SEKRETARIETI YA UVCCM
DKT CHAYA KUANZA  ZIARA,MANYONI KESHO
KUTOKA GUMZO HADI UZOEFU, ORIJIN YAZIDI KUVUTIA WANAOPENDA KUJARIBU VIPYA
CHATANDA AZIPONGEZA HALMASHAURI ZA MBEYA KUTOA MIKOPO YA ASILIMIA 10 KWA WALENGWA HALISI
MH. MARIAM KISANGI, MBUNGE WA JIMBO LA TEMEKE, AFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO KATIKA KATA YA TEMEKE
KIKAO MAALUM CHA KAMATI YA UTEKELEZAJI UVCCM MKOA WA IRINGA
Load More That is All