Na. Sheila Ahmadi
Shirika la umeme Tanzania TANESCO imetoa. Fursa ya kujiendeleza kielimu kwa wahandisi wanawake ikiwa na lengo la. kuwainua wanawanake kiuchumi na maendeleo katika kuleta uchumi .nchini kwani ushiriki wa wahandisi wanawake ni mchache mno hivyo kama shirika tumeona vyema kutoa fursa ya kuwaendeleza kimasomo zaidi.
Akizungumza kwenye mkutano Jijini. Dar es salam Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa shirika la umeme nchini Tanzania TANESCO Gissima Nyamohanga Amesema kuwa sisi kama Shirika la umeme nchini tunaenda kuhakikisha Tanzania inakuwa na wahandisi wanawake wengi.
Tunaenda kuchukua Wanafunzi wa vyuo. Nchini ambao wanasoma Fani. ya uhandisi ambao wanafanya jinisia ya kike na kuwajengea uwezo ilk waweze kuajiriwa na serikali hivyo ndani ya shirika hilo na mashirika mengine mbalimbali yanafanya kazi ya uhandisi.
"Sisi kama TANESCO tumeweka. Mipango mikakati maalumu. Katika kuwakwamua wahandisi wanawake Katika kuwainua kimataifa huku wakiiwakilisha Shirika hilo Katika utendaji kazi
Kwa kushirikiana na wizara ya Nishati,na wizara ya Jinsia wazee watoto ma makundi maalumu tunaenda kuhamasisha waha ndisi kufanya kazi kwani kupitia mradi wetu serikali kwa kushirikiana na Benki ya dunia tumeweza kuanzisha progaramu ya kuwachukua wanafunzi kwenda kuongeza uwezo wa kuongeza ujuzi ikiwemo wanafunzi kutoka chuo cha Taasisi ya Teknolojia Dar essalama. DIT " Amesema mkurugenzi Nyamohanga.
Naye katibu mkuu kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jami Jinsia na makundi maalumu Dkt. Seif Shekalage. Amesema kuwa uzinduzi wa programu hiyo ni kuendeleza Akina Mama huku ikiwa ni utekelezaji wa Mhe Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt samia suluhu hasani ikiwa kwa lengo maalumu ya kuweza kuwawezesha wanawake kiuchumi.
Tunaenda kuhakikisha usawa Katika jamii na kuwapa nafasi mbalimbali. Wanawake za uongozi ambao TANESCO wamefanya utekelezaji kutoka kwa rais ambapo programu hiyo ni yanne ya kuweza kupelekea Taasisi hiyo %20 inafakia Katika kutoa maamuzi mbadala amesema Shekalage
Kwa upande wake Mhandisi Catherine Mwigoha kutoka TANESCO. Amesema kuwa Mardi huo wa usawa wa kinjisia umelenga kunufaisha wanawake hususani wahandisi kwani baadhi ya wahandisi wanawake waliopo kwenye shirika hilo wamepata fursa ya kusomeshwa na kuendelezwa kielimu ikiwemo elimu ya Bachelor.
Kwa wale ambao hawana Ajira wataweza kupata fursa ya kusoma miaka miwili huku shirika likilipia mafunzo hayo hivyo faida tunazoenda kupata ni kubwa kwani tunaenda kuongeza ujuzi na kujenga uwezo wa kukaa katika vitengo mbalimbali.



0 Comments