Na Sheila Ahmadi
Viongozi. Wa dini nchini wameshiriki. dua ya kuliombea Taifa mkoani dodoma Huku Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr Philip Mpango amewataka Wananchi na Viongozi mbalimbali waendelee kudumisha amani iliopo katika Taifa la Tanzania ili Muungano uliopo uweze kudumu na kuyaishi maono ya Waasisi katika kudumisha amani na Mshkamano hapa Nchini.
" DKt Mpango ameyasema hayo katika Siku ya Maombi na Dua ya kuliombea Taifa mwaka huu iliofanyika katika Uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma ambapo amesema Muungano huo imekuwa ukiimarika siku hadi siku hivyo wamekuwa mstari wa mbele kwenye kutatua changamoto pindi zitakazojitokeza.
Hivyo Dkt. Mpango amesema Muungano umezingatia misingi ya Umoja na Mshkamano hapa Nchini ambapo imeweza kuleta faida mbalimbali ikiwemo Uchumi wa Taifa kuendeleza kukua licha ya changamoto zilizojitokeza mwaka 2020. "Amesema Dkt Mpango "
Kwa upande wake Makamu wa Rais wa pili kutoka Zanzibar Mohammed Abdullah amesema changamoto zinazoukabili Muungano zinaendelea kutatuliwa Kwa Kasi kubwa katika kipindi Cha awamu ya sita chini ya Usinamizi wa Rais Dr Samia Suluhu Hassani Kwa kushirikina na awamu ya nane Visiwani humo.
Naye waziri. Wa nchi ofisi ya waziri mkuu Sera bunge na uratibu Jenesta Mhagama amewashukuru viongozi wa dini kwa kuweza kushiriki kwenye Dua maalumu ya kuliombea Taifa la Tanzania katika kutekeleza miradi mbalimbali ya kimaendeleo ikwemo mradi huu .
Aidha Waziri mhagama Amesema kuwa katika kuleta maendeleo nchini imani inatakiwa kwa kiasi kikubwa hivyo Rais wetu Dkt samia anatambua mchango wa viongozi wa dini zote na tunatambua kitendo hichi ni kizuri kwa nchi yetu kwani kitasaidia mambo mbalimbali ya kimaendeleo kukua zaidi ikiwemo miundombinu. "Amesema waziri .
Sanjari na hayo Mkurugenzi mtendaji wa shirika la reli Tanzania TRC Masanja kadogosa amesema kuwa kwa sasa bado tuko kwenye majaribio. Ambayo kuna mashariti huwezi. Kwenda mwendo haraka mita sitini hivyo watu ambao wana mashaka na treni hiyo ya masaa manne kutoka dar es salaam mpaka Dodoma " Amesema mkurugenzi kadogosa".
"Kwa sasa tuna vipande sita ambapo tunaendelea. Na ujenzi hivyo miezi hii miwili ambayo inakuja unaenda kukamilika hivi karibuni na majaribio haya ambayo tunafanya ni kwa agizo la Rais Dkt Samia suluhu hasani anatekeleza miradi ya Maendeleo kwa ajili ya kujenga Nchi yetu
"Hata hivyo Kiongozi wa dini kutoka kanisa la inuka uangaze Boniface. mwamposa Amesema kuwa lengo la dua hii ni kuweza kuungana katika kujenga uhusiano nzuri baina yetu ya viongozi wa dini na serikali kwa ujumla ili tuweze kuliombea taifa letu liwe salama.
Serikali yetu ya awamu wa sita inafanya mambo mbalimbali hususani kwenye kujenga miundombinu,Shule,na uboreshaji wa elimu sisi kama viongozi wa dini tunatambua mchngo mkubwa wa serikali yetu na tuna imani na viongozi wetu wote ambao wanaingoza nchi



0 Comments