WAZIRI WA KILIMO AZINDUA MPANGO WA. MAENDELEO WA. MIFUMO. YA CHAKULA.

 

Na. Mwandishi  wetu

Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amezindua mpango  wa maendeleo  wa. Mifumo ya chakula kutoka kwenye   nchi za Afrika katika   kuwa na sera nzuri za uwekezaji katika sekta ya kilimo ili kuharakisha maendeleo ya sekta hiyo  na kukuza uchumi wa Afrika.


Hayo. Yamesemwa. Jijini.  Dar es salaam   na Waziri. Wa kilimo. Hussein  bashe mara baada  kuzindua mpango mkuu wa maendeleo wa mfumo wa   chakula  kufikia  mwaka 2030  ambapo  amesema  kuwa  takribani  ya asilimia kubwa ya uzalishaji wa mifumo ya chakula bado hauridhishi kulingana na mahitaji ya chakula katika Bara la Afrika.


Sambamba. Na hayo   waziri.  Bashe amewataka wadau wa mifumo ya chakula Barani Afrika AGRF kuanza  kuandaa  maeneo  muhimu ya uwekezaji ili kuifanya sekta hiyo kuvutia kwa watu wengi likiwemo kundi la vijana."  Amesema waziri bashe"


"Sisi. Kama wizara. Ya   kilimo. Tumeona ni vyema kuboresha  mifumo  hii ya chakula 2050 unapaswa  kulingana na maono ya maendeleo ya mwaka na dhamira yake utaonekana  Agosti mwaka  huu hicho ndicho tunachotaka na kielelezo tosha kwa taifa,” amesema  Waziri Bashe.


Katika. Kuboresha  kwenye  sekta  ya kilimo  na  maendeleo ni. Muhimu kuweka  kwenye  mifumo ya chakula  dhumuni ni kukuza   uchumi na kuhamasisha   vijana ambao  ni nguvu. Ya Taifa katika kuwezesha teknolojia, fedha na uhakika wa masoko  huo ndio mwelekeo wa serikali   

 

"Tunatambua  kuwa katika sekta ya kilimo kuna baadhi ya changamoto. Ambazo. Wakulima wanakutananazo zikiwemo ukosefu wa mbolea zilizo bora hivyo. Katika kuhakikisha tunafikia malengo ya kukuza uchumi wetu kupitia kilimo tunaenda kutoa  baadhi ya mahitaji kwa wakulima hao. Nchini

Post a Comment

0 Comments