Sheila Ahamad, Dar es Salaam.
Kupitia wizara ya maliasili na utalii Waziri Mwenye dhamana Angela kairuki amesema wizara ya utalii imechukua hatua katika kukabiliana na mabadiliko ya Tabia ya nchi kupitia kwenye wizara hiyo imeingia katika misitu ili kuitunza na kuhifadhi mazingira na kwasasa wanashirikina katika kukuza utalii nchini na kuongeza ubunifu katika utunzaji wa misitu na mazingira.
Akizungumza katika mkutano wa mabadilko ya nchi Jijini dar es salaaa. waziri kairuki amesema sekta ya utalii na maliasili wanakabiliana katika mabadiliko hayo duniani huku wakichukua hatua za kiserikali na katika nchi yetu kuna biashara ya misitu katika kuendeleza misitu nchini hivyo kupitia utaliii na maliasili wamejipanaga vyema ili kudhibiti madhara yatokanayo na mabadiliko ya tabia ya nchi ambayo inatokana na hewa chafu.
Kimsingi ukiangalia hali ya kimataifa kwa sasa imejikita zaidi katika maeneno ya viwanda hususani viwanda vikubwa ambavyo vinatumia makaa ya mawe kwa kiasi kikubwa hivyo inakubalika duniani kupitia mikataba ya paris kupitia ibara ya sita nukta 4 kuona namna gani nchi inaweza kukabiliana na suala hilo na changamoto ya hewa hiyo.
Kutokana na biashara hiyo kuanza serikali imetoa pongezi kwa wananchi kwa upandaji wa miti mingi zaidi itaweza kupunguza hewa chafu hivyo sekta hiyo imetoa rai kwa kushirikiana na makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt philip Mpango kwa kuleta maendeleo na uelewa kwa wantazania na wengine wote katika kukabiliana na changamoto ambazo zimejitokeza katika mabadiliko hayo ikiwemo upandaji wa miti."amesema waziri kairuki"
Kwa upande wake Mdau wa mazingira Cosmas Tungalaza amesema dhamira ya mkuttano huo ni kuweza kuonesha athari za madaliko ya Tabia ya nchi pamoja na fursa ambazo zinatokana na madaliliko hayo kama asubuhi kulikuwa na mafuriko
Na ukame kutokana na majira tofauti toufauti ikiwemo nyakati za kilimo huku mkulima akiwa hafahamu wakati muafaka wa kulima mazao.
Huku zaidi wamejkita katika mabaliko hayo kama unavofahamu kwa ujumla inahusisha mabadiliko hayo chini ya asilimia tatu lakini pia kuna miradi kama hii inatoa fursa katika kuazisha miradi mbalimbali itokanayo na sekta ya misitu.ambayo inatoa mwanga wa jua katika kuongeza hali ya hewa na kuleta mabadiliko katika kuchakata bidhaa zitokanazo na misitu asilia.
Hata hivyo mkurugenzi kutoka kampuni ya Seltech Tanzania company Haesung lee amesema kuwa sekta ya nishati kwa kutumia sola inakabiliwa na hali ya hewa hivyo kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa nishati ya sola imekua ikitumika.kwa wingi zaidi ya watu 2000 nchini korea hutumia zaidi nishati ya sola itokanayo na jua ambayo wengi zaidi hutumia kwa matumizi mbalimbali kwa mahitaji yao muhimu.




0 Comments