Na Sheila. Ahmadi
Shirika la reli nchini. Tanzania (TRC) limeanza. Kutoa huduma za safari kutoka dar es salaam kuelekea dodoma ambapo shirika hilo limesema kuwa leo ni siku kubwa ya furaha kwetu kutokana kwa utekelezaji wa maagizo ya Mh. Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt samia suluhu hasani. alitoa wito kwa trc kuwa ifikapo. Julay mwaka 2024 tunatakiwa kukamilisha mradi huo wa trc kwa utoaji wa huduma kwa wananchi.
Akizungumza. jijini. Dar e salaam Mkurugenzi. Wa shirika la. Reli nchini Tanzania Masanja. Kadogosa amesema kuwa kutoka Dar esalaam kuelekea mkoani Dodoma inaenda kurahisisha baadhi ya wasafiri ambao wanatoka sehemu mbalimbali kupitia maeneo. Ya dar esalaam kuelekea mkoani humo .hivyo sisi kama shirika tunamshukuru mungu kwa kuweza kukamilisha jambo hili ambalo wananchi. Walikuwa wanalisubiri kwa shauku kubwa.
"Tuna viongozi. Mbalimbali kwenye treni hii ya leo ambayo inaanza rasmi safari za Dar es salaam kuelekea dodoma pia siku za hivi karibuni tutatoa taarifa rasmi ya uzinduzi wa treni hiyo huku mgeni rasmi akitarajiwa kuwa Dkt samia suluhu hassani.
Aidha Mkurugenzi. Kadogosa. Aliongeza kuwa treni hii tumeweza. Kubeba mabehewa zaidi ya 14 hadi 20 huku mabehewa hayo yakiwa yamebeba abiria Takribani ya 900. Vilevile baadhi ya Abiria wamekosa tiketi za kuondoka Dodoma hivyo tumeona muamko Mkubwa wa wananchi na kuweza kufurahia usafiri huo wa haraka ambao unatumia muda mchache wa kutoka. " Amesema mkurugenzi kadogosa".
Treni. Zetu zipo aina mbili tofauti. Ambazo ni daraja la juu na kawaida kupitia bei elekezi. Ya Mamlaka ya usafiri wa Ardhini ( Latra). Kiwango cha fedha cha kawaida ni elfu thelathini na moja kutoka dar esalaam kuelekea dodoma huku nauli za Kutoka mkoani dar es salaam mpaka Morogoro ni 13000.
Kwa. Upande. Wake Abiria kutoka. Dar es salaam kuelekea mkoani dodoma. Rose mchau. Amesema kuwa leo nina furaha kubwa ya kupanda. Treni.hii ya mwendokasi kwani wameturahishia katika kutumia muda mchache wa safari ikiwa na tofauti na Magari ya kawaida.
Vilevile Rose ameongeza. Kuwa. Mimi ni mkazi wa dodoma hivyo nilivoona treni hii imekamilika. Pia nawashauri wananchi wote wafike kupanda treni hii kwani ni nzuri. Pia Ina mazingira. Wezeshi kwa watu wa rika zote na mahitaji maalumu pia ni matumaini yangu kuwa katika safari yetu hii tutafika salama



0 Comments