WAZIRI WA UTAMADUNI SANAA NA MICHEZO. DKT. NDUMBARO KUSHIRIKI TAMASHA LA GRAND. GALA DANCE

 


Na Mwandishi wetu

Waziri wa utamaduni  sanaa na michezo Dkt damasi ndumbaro anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye tamasha la grand gala. Dance  litakalofanyika ukumbi wa supa Dom masaki jijini dar es salaam ambapo litahusisha  muziki wa. dance. ukiwemo Fm academia.


Mkurugenzi. Wa chocolate Princess  Mboni masimba  anawakaribisha kwenye tamasha la Grand gala Dance litakalofanyika jijini Dar es salaam The supa Dom masaki ambapo  kutakuwa na tukuyu band, Malaika band.


Akizungumza jiini dar e s salaam mkurugenzi huyo mboni masimba amesema kuwa  kuelekea. Kwenye   tamasha hilo La muziki wa bendi litahusisha bendi mbalimbali zikiwemo  tukuyu bendi,  Fm academia. Na twanga pepeta .


 Tutakuwa na vingilio tofauti kwenye tamasha hilo kuanzia Miioni mbili ,moja na elfu hamsini kwa kila mmoja hivyo kwa watu wote tunawakaribisha  katika muziki wetu wa Dance.


Aidha  Mkurugenzi. masimba aliongeza kuwa kupitia chini ya udhamini wa CRDB leo wamezindua rasmi ambapo wapenzi wa grand gala  Dance  tunawakaribisha tarehe 30 August mwezi huu.


Naye  mkurugenzi. Wa Fm Academia amesema kuwa tutatumbuiza kwa pamoja   kupitia kwenye huo wa dance hivyo njooni  katika kushiriki kwenye tamasha hilo ya muziki wa dance kupitia kwenye muziki


Kwa upande wake msimamizi  wa huduma kutoka CRDB amesema kuwa tutakua na huduma ya lipa namba mpya kutoka CRDB hivyo tutatoa huduma hiyo kwa kutumia huduma ya lipa namba.

Post a Comment

0 Comments