SEKTA BINAFSI YAPEWA KIPAUMBELE KUPITIA. TRENI YA SGR

 

Na  Mwandishi  wetu

Serikali  kupitia  wizara  ya uchukuzi  imetoa Kipaumbele kwa Sekta  binafsi katika kushirikiana kwenye  uwekezaji  treni za kisasa SGR ili kuleta maendeleo  ya kiuchumi nchini.



Akizungumza. Na wanahabari  Jijini. Dar es salaam  Waziri wa Uchukuzi  profesa Makame  Mbarawa  amesema Kuwa  shirika la reli Tanzania  TRC kwa kushirikiana na wizara ya uchukuzi linawakaribisha  sekta ambazo sio za kiserikali   katika. Kuweza  kuongeza. Chachu ya maendeleo ya Treni ya kisasa ya SGR.


“tumejenga  Reli  hii  kwa  kuweza  kurahisha biashara  mbalimbali  nchini. Kwetu  Tanzania kwani  ni  nchi pekee ambayo Tunatumia mtandao  mkubwa wa reli ya kisasa yenye Km 720 na kupitia reli hii Mizigo ndiyo itakayoleta faida kubwa na kuleta pato la taifa  huku wasafiri wa kawaida  wakiwa  na muitikio mkubwa wa kutumia treni hiyo 


Aidha   serikali  imeweza. Kutumia Dolla milioni 3.138  katika .kuweza  kukamilisha ujenzi wa reli huku Shilingi Trillion 1.3 zimetumika kununua vitendea kazi vikiwemo mabehewa 89, seti 10 za vichwa vya treni ya mchongoko na vichwa 19  vya treni ya umeme”.Amesema Profesa Makame Mbarawa.


Tumeona. Wananchi wengi. Kutoka maeneo jirani  wamefurahishwa Na huduma hizo hivyo  wanatumia usafiri huo wa treni  katika kukuza na kuendeleza uchumi kutoka kwenye serikali yetu


Hata Hivyo  mbarawa. ameongeza kuwa. Kupitia uzinduzi  huo . Wa treni za kisasa. SGR kutoka Dar es salaam mpaka dodoma  unaenda kufanyika  jijini dodoma tarehe moja mwaka huu  huku mgeni rasmi wa uzinduzi  huo anatarajiwa kuwa Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania. Dkt  Samia suluhu has an.

Post a Comment

0 Comments